Senin, 30 Agustus 2010

Msiba Ireland na Tanzania


Hayati Mnomba Jaidi enzi za uhai wake

Kwa niaba ya familia na ukoo wa Njaidi, tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu na rafiki yetu, MNOMBA NJAIDI kilichotokea ghafla Ijumaa ya tarehe 27 August 2010 huko Ireland. Marehemu alipendwa sana na wengi lakini Muumba alimpenda zaidi - tunamwombea mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amina.

Maombi ya Ushirikiano:
Kwa niaba ya familia na marafiki wa marehemu, tunaomba msaada wa hali na mali toka kwa watanzania wote waliowahi na ambao hawakuwahi kumfahamu. Michango yenu ya hali na mali inatakiwa ili kufanikisha usafirishaji wa mwili wa ndugu na rafiki yetu kuelekea Tanzania (Toka Ireland).

Kwa michango tafadhali tumia details zifuatazo;

United Kingdom:
Account name: Y W Mirambo
Account number: 726 59 181
Sort Code: 09-01-26
Bank: Santander Bank

International transfer number: Above details zitafaa lakini namba tutaweka hivi karibuni kurahisisha International transfers

Simu: Yusuph +44 7972256826

ASANTENI KWA NIABA YA FAMILIA YA MAREHEMU NA MUNGU AWAJAALIE NA AWAONGEZEE SABA MARA SABINI

Mungu alitoa na Mungu ametwaa
Jina lake litukuzwe
- Amen!!

Tidak ada komentar:

Posting Komentar

LinkWithin