Kamis, 02 Juni 2011

Ajali

Abood lapinduka na kujeruhi abiria zaidi ya 31, ajali hiyo imetokea katika mlima imezu inyala mkoani mbeya.

Mdada akipata matibabu bada ya ajali

Mtoto akisubiri matibabu baada ya kunusurika katika ajali.

Gari ilogongana na Isuzu

Abood linavyo onekana baada ya kupinduka.


Picha kwa ihsani ya http://mbeyayetu.blogspot.com/

Tidak ada komentar:

Posting Komentar

LinkWithin