Mtabiri mkubwa wa mambo nchini Tanzania Sheikh Yahya Hussein afariki dunia. Sheikh Yahya amefariki Ijumaa ya leo na atazikwa kesho Jumamosi. Sheikhe huyo ajulikana sana kwa kutabiri mambo. Kwa habari zilizo tolewa na ndugu ni kwamba Sheikh Yahya amefariki kwa matatizo ya moyo (heart attack). Yasemekana kua mtoto wa Sheikh Yahya aitwae Hussein Yahya Hussein yuko tayari kuchukua pale alipo acha babake. Mr.Hussein alisema kwamba babake alianza kumfundisha business hiyo kwa muda. natoa pole kwa familia yake,jamaa na marafiki. Inna lillahi wa inna ilaihi rajioon,M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi,Amin.
Hivi watanzania tutafika jamani?. Wanzazibari wamechoka maduka ya wa bara moto na kuwaambia warudi kwao na kwamba hawataki muungano, bali wanataka muungao uvunjike. Hivi muungano ukivunjika Zanzibar itakua vipi?. Yani its really sad kama huku ndipo nchi yetu inapoelekea, jamani please we are not strong enough kuanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe. Hizi tabia za kuiga tuziachilie mbali, tuishi kwa salama na amani. Ukizingatia ya kwamba dar kuna wazanzibari kuliko hao wabara walokuepo zenji, mambo ya Kenya msituletee watanzania hatuna tabia hiyo kabisa! Unamchomea mwenzio kibanda chake anachopatia rizki kisa yeye ni mbara?. Nawewe wa pwani katafute rizki yako usikae kuweka chuki binafsi. Kwa habari zaidi sikiliza hapo chini.
It has been confirmed by President Barack Obama that Osama Bin Laden has been killed in a US security operation in Pakistan. President Obama has called Bin Laden's death "the most significant achievement to date in our nation's effort to defeat al Qaeda." Bin Laden was top of America’s most wanted list, and was blamed by Washington for masterminding a string of other attacks, including the attacks on US embassies in Kenya and Africa in 1998. He frequently taunted Bush, and Obama after he took office in 2009, with taped messages. For more information you can watch CNN and every other news channel.
School is suppose to be the safest place for kids to go and learn and also to interact with each other. Well today (April 18) at Ross Elementary School in Houston, Texas a six year old kindergarten student brought a loaded gun to school. When the gun accidentally discharged, three students were injured. I don't know If I should blame the boy or the parents, but in this case I am going to blame the parents. Children(s) should not have access to dangerous things specially gun.
As a parent you are suppose to look after you child and know what he/she is doing. There is no excuse for a child to bring gun into a lunch room where other kids are sitting. Parents please take more interest into your child's life, spend time with them and know their daily routines. You need to know what are they bringing to school and what are they bringing at home. Thank God this child didn't kill nobody, but what if the injuries were serious?. What is a six year old doing with a gun in the first place?. This should be an open eye to every parent out there. The world is not a safe place anymore. A six year old should be playing with cars, learning how to write his/her name and not playing with guns. Parents please pay attention to your kids.
Fatuma Sengo (41) akimimina dawa inayodaiwa kutibu maradhi mablimbali katika eneo la nyumba yake kwa ajili ya kuwapatia wagonjwa kwa kiasi cha sh 200 katika mtaa wa Kalakana kata ya Kichangani Manispaa ya Morogoro, kushoto ni mtoto Ashinuri Pichuu (4) ambaye ndiye anayehusika kupokea pesa na kutoa dawa kwa mgonjwa.
Kwa habari zaidi bonyeza hapa http://www.jumamtanda.blogspot.com/
Wasanii 13 wa kundi la 5 Star Modern Taarab wamefariki dunia mkoani Morogoro kwa ajali ya gari. Ajali imetokea jana usiku, pande za Mikumi wakiwa njiani kutokea Kyela mkoani Mbeya, baada ya Coaster waliyokua wanasafiria kuligonga lori lililokua limepaki barabarani. Baadhi waliofariki ni pamoja na kinara wa kundi hilo Issa Kijoti(Msitujadili),Sheba Juma,Nassoro Madenge,Husna Mapande,Omary hashimu. Katika majeruhi alikuamo mkongwe wa Taarab nchini bi Mwanahawa Ally. Ajali hii imesababisha maiti kuto tambulika, polisi wa mkoa wa Morogoro wanafanya juu chini ili maiti ziweze tambulika.
Poleni wapenzi wenzangu wa Taarab kwani ni pigo kubwa sana tulopata. Mimi binafsi nlitokea sana kulipenda kundi la 5 Star Modern Taarab na vipaji vyao. M/mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amin Msikilize Issa Kijoti enzi za uhai wake.
Police are asking for the public’s help in identifying a woman they found wandering in North York on Friday afternoon. She was not carrying any identification and she only speaks Fulah, a West African language. People with any information on this woman are asked to contact police at 416-808-1200.
Very powerful tsunami spawned by the largest earthquake in Japan's history slammed the eastern coast Friday, sweeping away boats, cars, homes and people as widespread fires burned out of control. Police said 200 to 300 bodies were found in the northeastern coastal city of Sendai, the city in Miyagi prefecture, or state, closest to the epicenter. Another 178 were confirmed killed, with 584 missing. Police also said 947 people were injured. Sadly, Japan only had 10to 15 minutes of warning about this Tsunami, that means nobody could have been prepared for this big hit.
I can only imagine how everybody is feeling right now, my heart goes out to all the people of Japan.
Today International Women's Day marked its 100th year. I am proud to say that there is plenty of women who have achieved so much in their lives, but also sad to say some women have no rights to anything. As a woman I believe every woman deserve to be treated equal, whether your black,Indian,white,Chinese; gander and religion shouldn't come in between. Also, many women does the jobs that male thought we couldn't do. There was a time and still is a time where male figure says that a woman's place is at home taking care of the family. Not every woman wants to be at home, we want to explorer our selves and challenge ourselves, and for someone saying otherwise is wrong. For example, here in Canada we have equal rights, even if not in everything but you can be a firefighter, police officer, engineer, you can be whatever you want. In 3rd world countries still women are not recognized as equal and they are treated terribly wrong. In Tunisia and Egypt, demonstrators staked their claim for equality, education and a better life. Not every country want a woman who is strong and independent. As a woman I want to say please don't look at a woman any less. We are all equal,beautiful and unique in our own way. Every woman deserve to be appreciated, loved,and respected . Treat every woman as you want your sister to be treated, treat every woman the way you treat your mother (good way).
I want to thank my beautiful mother who means everything to me. I see my mother as a woman who is extraordinary, strong,smart, and loving. My mother has taught me so much about life and never once told me I cant be anything, all I hear from her is " You can be anything you want to just study hard and work hard,because life is not easy". My mother is full of wisdom, warmth and love, she is an amazing woman and I am so lucky to have her in my life.
Also, to my beautiful and wonderful sisters who are amazing and loving. Life without these women wouldn't be a life. I am so thankful to God for giving such loving and caring people in my life.
Yani hii video inakupa hasira mwanadamu. Serekali yetu ya tanzania itaendelea lini eh?. Mabomu yanalipuka huyu pungu anasema watu watulie?. Tokea lini mwanadamu akatulia kwenye tukio kama hili?. Anazungumzia kwamba watu walikua wakielekea sehemu mbali mbali bila ya muelekeo, kama yeye angekua katika maeneo hayo angesimama na kusubiri muelekeo?. Alafu mcheki jamaa na body language, yani hajali kabisa!. Kama government ya kikwete haiwezi kufanya kazi iwaachie watu ambao wataweza, tokea jambo hili litokee sijamsikia raisi huyu kusema lolote. I want to know about his thoughts and feelings on this. Wananchi wa Tanzania wana deserve better than what they are getting.
Kwanza natanguliza samahani kwa yeyote atakae soma post hii na kua offended lakini serekali ya TANZANIA ni nuksi, sijui niseme nini juu ya serekali ya TANZANIA. Kama huwezi kuhakikisha safety ya wananchi wako basi hakuna sababu ya kuweka mabomu ovyo na kuhatarisha maisha ya wananchi. Hivi serekali ya Tanzania ina vuta bangi ama?. Mabomu yanaripuka vipi yenyewe tena twice 2009 then 2011 hivi tutafika jamani?. Nakama hujui safety ya kuweka mabomu hayo kwanini usiwe nayo kabisa?. Yani mwanadamu unakaa unasema labda kesho au kesho kutwa viongozi wa nchi yetu watakua na akili lakini kila kukicha ndio vile vile. unakua na mabomu alafu unayaweka tuu yazagae badae yaje kujeruhi watu, wakiulizwa hawajui chanzo, why have them bombs laying around in the first place if you dont know how to use them?. My heart goes out to everybody in Tanzania right now.
Milipuko mikubwa ya mabomu imekumba jiji la dar maeneo ya gongo la mboto, chanzo cha kufanya mabomu hayo kulipuka mpaka sasa hakija julikana. Nimeongea na dada angu kanambia kwa sasa hivi mabomu hayo yametulia lakini ntawapa update , MUNGU AWE NA NCHI YETU TANZANIA.
After month of protest it all came to an end with cheers and happiness after vice president announces that President Hosni Mubarak has stepped down. The military will take the country until they decide who will be the next president. I am so proud and happy for Egyptian people, they stood up for peace,equality and at the end it brought victory to people. . God Bless the Egyptian people, I swear to you these guys can be role models for the rest of the world to see specially in AFRICA. Keep working on your Democracy demands, I solute you all. I hope that the world learn from your success.
I was watching Underson Cooper 360 and I was broken hearted when I saw a five years old saying "white skin is better" than black,then she was asked who is the mean and ugly child,she poined at dark-skinned doll. A 5 years shouldn't be talking about white is better than black. Kids needs to be educated. You have to tell your children that they are beautiful no metter what anyone say. Talk to them about different race,you need to tell em that regardless of their skin colour or hair,THEY ARE BEAUTIFUL.
I wanted to let you know the new issue of Coco Eco magazine is out now which is especially exciting for me for two reasons. Firstly, Issue 6 is the first annual resort issue and is overflowing with gorgeous swimsuit fashion, summer beauty ideas and much more eco loveliness!
This is also the first issue featuring one of my articles! I am now working as the Travel Editor at Coco Eco and have written a green guide to London that covers all the best and most stylish places to shop, eat, indulge and sleep. I would love you to check out the magazine (and my article). You'll be ready to be a true green goddess this summer after reading Coco Eco's Resort Issue!
I look forward to sharing with you my next green travel guide to another must-visit city soon.
Thank you everyone for visiting Green Lashes and Fashion each day and for liking it enough to subscribe. I truly appreciate your support! Best wishes and have a great August!
Tara
View the new issue and eco-chic travel guide to London - Coco Eco - Issue 6